Belle 9 - Amerudi




amerudi!

Kwenye maisha, sijawahi kuta
majonzi yako mimi ni  vipi nitafuta
uongo mwingi sikuweka nukta
majuto ni mjukuu leo naumbuka

penzi ulilonipa, lilinisahaulisha
mpaka nikahisi we ndo wangu wa maisha
penzi ulilonipa, lilinibadilisha
nikabadili mfumo wangu wote wa maisha

penzi nililolipata kwako, nilifurahi sana
furaha yangu kwako, ni kama niko paradise
penzi nililolipata kwako, nilifurahi sana
furaha yangu kwako, ni kama niko paradise
Kama niko paradise!

Kama niko paradise! Kama niko paradise!
Kama niko paradise! ....niko paradise!

amerudi, najuta yote niliyotenda baby
amerudi, najuta yote niliyofanya kwako
amerudi, najuta yote niliyotenda baby
amerudi, najuta yote niliyofanya kwako

japo wengi wanakujua wewe, ila tambua wangu amerudi home
japo wengi wanakujua wewe, ila tambua wangu amerudi home

ujue, utambue, tayari mi nishakosea
ujue, utambue, nilichofanya kwako sio fair
ujue, utambue, nilichofanya kwako sio fair

amerudi
wewe nilikuficha, yeye mpaka nyumbani nishamtambulisha
wewe nilikuficha, yeye mpaka nyumbani nishamtambulisha

japo sikuwa real kwa penzi lako, ila nilikuita my love
japo sikuwa real kwa penzi lako, ila nilisema "I love you  baby"

amerudi, najuta yote niliyotenda baby
amerudi, najuta yote niliyofanya kwako
amerudi, najuta yote niliyotenda baby
amerudi, najuta yote niliyofanya kwako

kusema I love nimekosea, kukuficha sio fair
unisamehe nimekosea, unisamehe!
kusema I love nimekosea, kukuficha sio fair
unisamehe nimekosea, unisamehe!

bora ibaki kuwa siri mi nawe, kama tulikuwa wapenzi
hata mkikutana msigombane, kosa ni langu mi
ibaki kuwa siri mi nawe, kama tulikuwa wapenzi
piga moyo konde nielewe, japo ni ngumu kwako

amerudi, najuta yote niliyotenda baby
amerudi, najuta yote niliyofanya kwako
amerudi, najuta yote niliyotenda baby
amerudi, najuta yote niliyofanya kwako

[Mashairibongoflava.blogspot.com]
Sign in kutumia akaunti yako ya Facebook kisha comment!